


Klabu yake ya Steel Azin FC iliendelea kusema kuwa Karimi ambaye alikuwa mchezaji bora wa bara la Asia kwa mwaka 2004, aliwatukana viongozi wa shirikisho la soka la Iran na viongozi wa timu walipojaribu kumshauri kuhusiana na kufunga mwezi mtukufu wa ramadhan.

Katika historia yake, Karimi aliwahi kulisakata kabumbu kwa miaka miwili kwenye ligi ya Ujerumani, Bundesliga ambapo aliichezea Bayern Munich na kuifungia magoli manne katika mechi 50 alizocheza.


Mwezi wa Ramadhan umeanza siku ya Alhamisi nchini Iran na kwa mujibu wa sheria za Iran, waislamu wote wanatakiwa kufunga na wale wasiofunga wakiwemo ambao si waislamu hutakiwa kujizuia kula na kunywa kwenye sehemu za wazi.
Wajawazito, wanawake walio kwenye hedhi, wazee, wagonjwa, watoto na wasafiri hawalazimiki kufunga.

The Iranian international player’s contract expires at the end of the current season. Karimi is not willing to play in any other Iranian team except his former club Persepolis; however, he cannot play in that team either since he quarreled with the team’s current coach Ali Daei.
Karimi is expected to travel to the U.S. to negotiate with the Galaxy officials within the next two weeks.
“Ali (Karimi) has two offers from LA Galaxy and the UAE’s Al Ahli, but I think he would prefer to play in the American major league soccer,” Mohajerani said.
Karimi played in Bayern Munich from 2005 to 2007 before leaving the team for Qatar SC.
The 32-year-old will probably join the well-known British midfielder David Beckham in Galaxy.
No comments:
Post a Comment