
DRC: Zaidi ya watu mia moja wamebakwa katika wiki moja
Mashirika ya kutoa misaada na yale ya kibanadamu katika eneo la mashariki ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo yamedai kwamba makundi ya watu wenye silaha yamekuwa



Visa hivi vimeripotiwa katika siku nne zilizopita katika vitongoji mwa mji wa Luvungi na vinadaiwa kutendwa na makundi ya wanamgambo.
Hili limebainika baada ya watu zaidi kujitokeza kutafuta msaada kutoka kwa mashirika hayo. Karibu watu mia mbili wamesema walibakwa katika kipindi cha siku nne tu
No comments:
Post a Comment