Dini ni mfumo wa maishani

Dini ni mfumo wa maishani

Wednesday, March 23, 2011

Watu walioshuhudiwa walisema, majeshi ya kimataifa yameanza mashambulio mapya

Gari la waasi Libya




Watu walioshuhudiwa walisema, majeshi ya kimataifa yameanza mashambulio mapya ya anga karibu na mji uliopo magharibi mwa Libya wa Misrata unaoshikiliwa na waasi.

Awali majeshi yanayomtii Kanali Gaddafi yaliondoka eneo hilo, lakini wakazi wa Misrata walisema wadunguaji wameendelea kuwalenga watu wakiwa juu ya majengo.

Kulingana na taarifa zilizotolewa majeshi ya Kanali Gaddafi pia yalianza kuchakaza mji wa Zintan, karibu na mpaka wa Tunisia.

Mapigano hayo yameanza huku nchi za magharibi zikijadiliana ya nani anaongoza harakati za kuingilia kati mzozo wa Libya, huku Marekani ikipendelea zaidi kukabidhi jukumu hilo kwa majeshi ya umoja wa nchi za kujihami za Ulaya, Nato.

Mkazi mmoja wa Misrata aliiambia Reuters kwa simu: "Asubuhi hii, mashambulio mawili ya ndege yamefanyika kwenye kituo cha kikosi maalum cha Gaddafi.

"Watu wawili waliuawa na wadunguaji saa moja iliyopita katikati ya mji. Miili yao sasa iko hospitali, nimewatembelea muda si mrefu. Ufyatulianaji risasi bado unaendelea."

Daktari mmoja kwenye mji huo aliiambia BBC kuwa wandunguaji walikuwa wakiendelea kuwapiga risasi raia, na kuthibitisha kuwa takriban mtu mmoja alikufa.








Gaddafi atabiri ushindi wa jeshi lake

Sehemu ya jengo lililolenga na kombora kwenye kasri ya Gaddafi mjini Tripoli



Kanali Muammar Gaddafi ametembelea kasri yake ilioharibiwa vibaya na makombora mapema wiki hii, ambapo ametabiri kuwa jeshi lake litawashinda waasi.

Akizungumza kwa mara ya kwanza tangu muugano wa majeshi ya nchi za magharibi yaanze kushambulia Libya, Kanali Gaddafi ametoa wito kwa waiislamu wamuunge mkono.

Gaddafi amewaambia wafuasi wake akiwa Bab al-Aziziya, kwenye kasri yake iliobomolewa na ndege za kivita hapo juma pili, kuwa harakati zinazoendelea dhidi yake ni vita dhidi ya waislamu.

Katika hotuba hiyo iliodumu kwa dakika tatu kwenye televisheni ya kitaifa, Kanali Gaddafi amesema kwa vyovyote vile jeshi lake litashinda na wala halitasalimu amri.

Wakati huo huo, shirika la NATO limepitisha azimio kuwa wanajeshi wake waanze kushika doria kwenye bahari ya Mediterranean ilikuzuia silaha na mamluki kuingia Libya.

Rais wa Marekani Barack Obama na Waziri mkuu wa Uingereza David Cameron wanapendekeza kuwa NATO iongoze harakati hizo za kivita nchini Libya, lakini kiongozi wa Ufaransa Nicolas Sarkozy hajakubaliana nao.

Ufaransa ndio nchi ya kwanza kulitambua baraza la waasi wanaompinga Kanali Gaddafi.

Taarifa zinasema watu wengi wamekufa mjini Misrata, magharibi mwa Libya eneo ambalo limeshuhudia mapambano makali kati ya waasi na wanajeshi wanaomtii Kanali Gaddafi.






Kasheshe kwa wanaotaka kusoma Uingereza







Maandamano ya wanafunzi Uingereza


Sheria za kupata viza za wanafunzi nchini Uingereza zinatarajiwa kuwa ngumu zaidi- baada ya kuibuka wasiwasi kuwa mbinu za kuingia nchini humo kwa minajil hiyo hutumiwa kiudanganyifu

Waziri wa mambo ya ndani Theresa May alisema viza za wanafunzi hazitumiwi inavyotakiwa na "wengi wamekuja hapa kufanya kazi na si kusoma".

Alitangaza mpango wa kupunguza idadi ya viza za wanafunzi kufikia 80,000- takriban robo ya idadi iliyopo sasa.

Waziri kivuli wa wizara ya mambo ya ndani Yvette Cooper alionya sheria hazitakiwi kuharibu idara zenye thamani ya dola za kimarekani bilioni tano kwa mwaka.

Bi May aliliambia bunge kuwa matumizi mabaya ya viza za wanafunzi yamekuwa "ishara ya mfumo wa uhamiaji uliotumiwa vibaya".

Sheria za lugha
Sheria ngumu zilizowekwa ni pamoja na mwanafunzi kutakiwa kuzungumza lugha ya Kiingereza.

Bi May alisema alitaka kumaliza tatizo ambapo wale wanaojifanya wanafunzi hufika kwenye uwanja wa ndege wa Uingereza na kushindwa hata kutaja masomo wanayotarajia kufanya.

Pia utaratibu utazidi kubanwa kwenye kuwaruhusu wanaolelewa na mwanafunzi huyo kujiunga naye Uingereza- na idadi ya miaka ya wanafunzi kutoka nje kukaa Uingereza baada ya kumaliza masomo yao itapunguzwa.

Katika kukabiliana na wasiwasi wa viza za wanafunzi kutumiwa vibaya na wahamiaji wa kiuchumi, kutakuwa na kiwango maalum cha saa za kufanya kazi kwa wanafunzi kutoka nje.

Awali vyuo vikuu vilionyesha wasiwasi wa kupoteza wanafunzi kutoka nchi za nje kutokana na sheria kali za kuomba viza.

Vikwazo vingi vinawalenga wanafunzi walio katika vyuo vya watu binafsi badala ya vyuo vikuu.

Hata hivyo Bi May aliwaambia wabunge kwamba "njia kama hiyo" ya kusoma kupitia vyuo vikuu vitalindwa, iwapo tu vyuo vikuu vitawadhamini wanafunzi








Dunia imesahau hali tete Ivory Coast



Kuna hofu ya vita kuzuka nchini Ivory Coast
Wakati dunia ikionekana kuweka uzito kuhusu vita nchini Libya na janga la Tsunami huko Japan, Umoja wa Mataifa umeonya kuwa mzozo wa Ivory Coast usisahaulike.

Umoja wa Mataifa unakadiria kwamba takriban watu nusu milioni wamekimbia machafuko nchini Ivory Coast.

Huku hali ikizorota, viongozi wa nchi wanachama wa shirika la ECOWAS wanakutana leo mjini Abuja katika juhudi nyingine ya kutatua mzozo wa kisiasa unaokumba taifa hilo.

Maelfu ya wakimbizi wametoroka mapambano yanayoendelea mjini Abdijan kati ya wafuasi wa Laurent Gbagbo na wale wa Alassane Ouattara.

Wengi walioathirika na mapigano hayo bado wapo nchini Ivory Coast katika maeneo yalioko salama lakini inavyoonekana ni suala la muda tuu lakini watatorokea nchi jirani.

Waziri wa habari wa Liberia Cletus Sieh,ameiambia BBC kuwa hali ya usalama inazidi kuzorota na tayari watu elfu 80 wamekimbilia salama nchini humo.

Tangu mzozo huu uanze Umoja wa mataifa umeomba msaada wa dola milioni 32 kuwasaidia wakimbizi kutoka Ivory coast lakini hadi sasa ni dola milioni 7 tu ambazo zimepokewa.

Huku viongozi wa ECOWAS wakiwa wanakutana leo mjini Abuja kujadili mzozo huu, Alassane Outtra ambaye anatambulika kuwa mshindi wa uchaguzi wa Novemba mwaka jana anasema, wakati umewadia kutumia nguvu kumondoa Bw.Gbagbo mamlakani










Hatumlengi Gaddafi - Majeshi





Majeshi ya ushirika yanayoendesha mashambulio ya anga yanasema Kanali Muammar Gaddafi sio lengo lao, licha ya kushambulia makazi yake usiku.








Ndege ya kivita


Mkuu wa jeshi la Marekani kikosi cha Afrika Jenerali Carter F Ham
amesema kumshambulia Gaddafi sio sehemu ya mpango wao.

Msemaji wa jeshi la Ufaransa,

amesema hata kama watafahamu kiongozi huyo wa LIbya yuko wapi, hawatamshambulia.

Umoja wa Mataifa ulipitisha muswada wa kulinda raia, wakati Kanali Gaddafi akipambana na waasi, katika ghasia zilizozuka mwezi uliopita.

Siku ya Jumapili, waziri wa ulinzi wa Uingereza alisema kumlenga Gaddafi huenda "ukawa uwezekano".

Hata hivyo siku ya Jumatatu, mkuu wa majeshi wa Uingereza Jenerali Sir David Richards alisema kumlenga Kanali Gaddafi pekee "hairuhusiwi chini ya muswada wa Umoja wa Mataifa".













South Africa shut down its Embassy in Libya





South Africa shut down its Embassy in Libya on Sunday night and evacuated 30 of its nationals from the strife-torn country.Clayson Monyela, a spokesman for South Africa's International Relations and Cooperation Department, said on Monday that the country "remains deeply concerned at the deteriorating situation in Libya, which has resulted in untold atrocities and countless loss of civilian lives."


Meanwhile, Libya's Ambassador to South Africa Abdallah Alzubedi told reporters that he had considered resigning as envoy of the Qadhafi regime, but held back as he did not want to desert his people at a time of crisis.


After voting in the U.N. Security Council at the weekend in favor of adopting tough punitive actions on the Libyan government, South Africa said it was sending "a clear and unambiguous message to the Libyan authorities to end the carnage against its people."


Canada imposed a wide range of sanctions against Libya on Sunday














France’s 1271 Year Battle With Islam







Hardly a week goes by without an article appearing in a newspaper telling of further conflict between a European nation and its Muslim population. Population is the correct term, as issues are broad and deal with citizens, immigrants, and individuals there illegally. This week, it is Frances turn.

Edward Cody, a staff writer for the Washington Post’s Foreign Service, penned an article covering the controversy in France dealing with mundane subject of hamburgers[1]. While, at first glance, it might appear humorous, the subject simply highlights how Christians and Muslims lack an understanding of each other, a problem we, here in the United State, share. In the end, both camps must face the problem, and overcome it, if they intend to live together.

While most people understand the conflict between the two religions goes back centuries, they may not realize it started before the Crusades. Over 350 years before the first Crusade, Muslims invaded Europe forcing European Christians to defend their homeland. After securing the Iberian Peninsula, the Muslim leader Abd ar-Rahman I, set his sights on territory held by the Franks.

Europe, at the time, was a fragmented and had little chance of standing up against the organized invaders. That is, until one man stepped back, formed a plan and convinced various groups to set aside their differences and work for the common goal of self-preservation.

With a nickname more akin to a Mickey Spillane character than the tony, aristocratic names of later French rulers, Charles “the hammer” Martel understood how to fight a battle. Without question, from the standpoint of defense, he was the right man at the right time. Under his guidance, the Franks developed a standing army capable of not only defending themselves, but able to push the invaders back across the Pyrenees Mountains. His efforts effectively ended the Muslim advance into Europe and lead to the formation of the Holy Roman Empire with his grandson Charlemagne.

Of course, then came the Crusades and all the carnage that came with them. Given the history between European Christians and Muslims in general, is it any wonder there is mistrust today? On the one hand, Muslims simply want to enjoy a hamburger that has been prepared in accordance with their religious tradition. On the other hand, secularist and Christians see it as forcing them to accept the Muslim tenet of halal, as prescribed by Islamic law. The businesses concerned do not care, they simply want to increases profits and market share.

Devout Muslims are only allowed to consume food prepared in the halal tradition, much like devout Jews restrict themselves to kosher foods[2]. Both traditions are similar but differ in the particular religious aspect and various restrictions. In the case of halal, it is less restrictive on process but does require a set of particular prayers. Still, it is a religious practice and many that do not follow the Islamic religion may take offence at some point. In the end, businesses will decide if they need to adopt the practice based on profit and loss, nothing wrong with that.

The practice of halal only becomes an issue if the government forces or bans it. In the end, the marketplace should determine the extent “halal only” restaurants and stores are accepted. Muslims in France voted with their money, as sales in halal stores increased. The French citizens in opposition are just getting started in applying pressure of their own. They see this as another step in Muslims finally taking control of the territory the Muslim army failed to conquer all those years ago.

That is the point; it is not halal, as an isolated practice, which is at issue. The issue is whether France is becoming an Islamic state. By law, France does not officially use a census to determine its population demographics racially or ethnically. As far back as 2004, various demographers estimated the Muslim population of France, under the age of twenty-five, as high as thirty percent[3]. As the Muslim population increases, it is natural for business to cater to the needs of that population. The question in France, as well as other European countries, is what to do when that population grows large enough to demand a change in government. In other words, the fear is France will become an Islamic state and lose its secular form of government.

In the end, France must find a way to deal with its growing Muslim population. As citizens, they enjoy the same religious freedom as other citizens. At least they enjoy the aspects of religious freedom that have not been legislated away, such as the ban on headscarves.[4] While something like how to create a hamburger highlights one of the many issues currently debated, that issue cannot be taken at face value. As the little, seemingly insignificant issues grow in number, France, as other countries, will be forced to reconcile its secular government with a religion that includes its own unique political system that defines what constitutes a legitimate government[5]

No comments:

Post a Comment