Dini ni mfumo wa maishani

Dini ni mfumo wa maishani

Friday, July 22, 2011

Misri yatangaza baraza jipya la Mawaziri

Baraza jipya la Mawaziri limeapisha nchini Misri, huku maandamano ya kuipinga serikali yakiendelea. Zaidi ya nusu ya mawaziri wamebadilishwa, ingawa Waziri Mkuu, Essam Sharaf, anaendelea kubakia katika wadhifa wake.

Baraza tawala la Misri

Hadi kufikia uwamuazi wa kuunda serikali mpya ya Misri kumekuwepo na vigezo na matatizo pia. Uteuzi wa baraza jipya la Mawaziri ulicheleweshwa mwanzoni kutokana na mabishano baina ya Waziri mkuu na baraza la kijeshi linalotawala, kisha Waziri mkuu akapelekwa hospitali kwa sababu ya shinikizo la damu.


Essam Sharif

Kisha baraza likabadilishwa, hadi wakati wa kula viapo walipoapishwa na kiongozi wa kijeshi Field Marshal Tantawi.

Mabadiliko hayo hayajafanikiwa kikamilifu, katika nia yake ya kuwaridhisha upinzani ingawa yameweza kupunguza makali ya waandamanaji waliokwama katika medani ya Tahrir.



medani ya Tahrir-Misri

Wakati baraza jipya likiiapishwa, koto moja mjini Cairo ikaondoa amri kwamba jina la aliyekuwa Rais, Hosni Mubarak liondolewe kutoka majengo yote ya umma. Uwamuzi huu ulisababisha malumbano baina ya waungaji mkono na wanaompinga kiongozi aliyeondoka madarakani nje ya majengo ya mahakama.











Marekani kupeleka msaada wa chakula maeneo ya al-Shabaab




Marekani imesema itatuma msaada katika eneo lililokumbwa na baa la njaa nchini Somalia linalodhibitiwa na kundi la kiislam la al-Shabaab

Lakini Maafisa wa misaada wa Marekani wamesema ni lazima wapewe uhakika kuwa wapiganaji hao hawataingilia kati kuvuruga ugawaji wa misaada hiyo.

Marekani inalichukulia kundi la al-Shabab kuwa la kigaidi na mwaka jana kundi hilo lilizua msaada wa chakula katika eneo kubwa la Somalia linalolidhibiti.


Umoja wa Mataifa umetangaza rasmi kuwa kuna baa la njaa katika maeneo mawili ya Kusini mwa Somalia yaliyokumbwa na ukame mkali kwa zaidi ya karne.

Al-Shabab,

kundi linalojihusisha na al-Qaeda

linadhibiti sehemu kubwa ya Kusini na Katikati mwa Somalia, limezuia huduma ya mashirika ya misaada katika eneo lake tangu mwaka 2009, lakini hivi karibuni liliruhusu misaada hiyo ianze kutolewa.

Naibu Kamishna wa Shirika la Maendeleo la Marekani, Donald Steinberg, amesema misaada hiyo isiwanufaishe al-Shabab.

"Tunachokihitaji ni Shirika la Mpango wa Chakula Duniani

(WFP) na mashirika mengine, Umoja wa Mataifa au mashirika mengine, yote ya umma na sekta binafsi ambao wako tayari kwenda Somalia watupatie uhakika kuwa hawajasumbuliwa na al-Shabab, na kwamba hawajapewa vishawishi vyovyote kutoka kwa al-Shabab, ili tuweze kufanya kazi bila kuingiliwa," Bw Steinberg ameiambia BBC.

Amesema lengo lilikuwa ni kuokoa maisha, "na sio kucheza mchezo wa ‘paka na panya’ na mashirika ya UN au kundi lolote lingine ambalo lina ujasiri wa kutosha kwenda na kutoa msaada huo.

Mchambuzi wa BBC Afrika Martin Plaut anasema hatua hii inaonyesha mabadiliko makubwa katika sera za Washington.

Mwezi April 2010 Rais wa Marekani Barack Obama

alitoa maagizo maalum yakilitaja kundi la al-Shabab kuwa ni kundi la kigaidi, akimaanisha hakuna msaada wowote utakaopelekwa katika eneo linalodhibitiwa na kundi la al-Shabaab, anaongeza mchambuzi wa BBC.

Inakadiriwa kuwa watu milioni 10 wameathiriwa na ukame mbaya eneo la Pembe ya Afrika kwa muda wa zaidi ya karne. Zaidi ya raia wa Somalia 166,000 inaripotiwa kuwa wameyakimbia makazi yao na kuingia nchi za Kenya na Somalia.








Chombo cha Atlantis charudi duniani







Chombo cha mwisho cha angani cha Marekani leo kilirudi tena duniani, na kutua katika kituo cha vyombo vya angani cha Kennedy, muda mfupi kabla ya jua kuchomoza alfajiri.
Atlantis

Itabidi Marekani kuwategemea wengine kwa safari za anga za juu

Vyombo vya NASA vilitumiwa sana katika kuanzisha kituo cha angani, na vile vile darubini iliyojulikana kama Hubble.

"Chombo hasa kilibadilisha mtizamo wetu wa vile tunavyoiona dunia", alisema kamanda Chris Ferguson,

mara tu baada ya chombo hicho kutua.

"Kuna hisia nyingi leo, lakini jambo moja ambalo kamwe halina ubishi ni kwamba Marekani haitaacha kuvinjari", alisema alipokuwa akizungumza na kituo cha kusimamia safari za angani.

Kurudi ardhini kwa Chombo hicho cha kihistoria ni kufuatia amri ya serikali ya Marekani, na hasa kutokana na gharama za juu katika kuvitunza vyombo hivyo vya angani.

Uamuzi huo unamaanisha kwamba nchi hiyo haina tena uwezo wa kuwatuma wataalamu wa anga katika sayari mbalimbali.

Chombo cha Atlantis baadaye kilifahamika kama "the final four", yaani nne za mwisho, na kuashiria nia ya Marekani ya kuialika sekta ya watu binafsi pengine kuvitumia vyombo hivyo kibiashara, na hasa katika kupanga safari za kuwapeleka abiria angani.

Lakini hayo hayatazamiwi kufanyika katika kipindi cha miaka mitatu hadi minne hivi.

Katika kipindi hicho, NASA itawategemea Warusi katika kuwafikishia wataalumu wao hadi kituo cha kimataifa cha angani, kinachojulikana kama International Space Station (ISS).


Licha ya kiza kilichokuwepo katika anga ya kituo cha vyombo vya angani cha Florida, umati mkubwa wa watu ulijitokeza katika kushuhudia chombo hicho cha Atlantis kikirudi duniani.

Watu wengine elfu mbili walikisubiri chombo hicho katika uwanja ambao kilitua, na hata katika kituo cha kukielekeza chombo huko Texas, watu wengi walionekana katika lango la kituo cha safari za anga cha Johnson.









Mabaki ya msaidizi wa Hitler yafukuliwa





Kaburi ambalo limekuwa na mabaki ya msaidizi wa Adolf Hitler, Rudolf Hess, limebomolewa, ili kuyazuia makundi ya ki-Nazi ambayo yamekuwa yakilitembelea na kutoa heshima zao kuacha kufanya hivyo.



Mifupa ya Hess ilifukuliwa kutoka kaburi moja mjini Wunsiedel, eneo la Ujerumani kusini, mapema siku ya Jumatano.
Makundi yanayounga mkono ubaguzi wa rangi yamekuwa yakilitembelea kaburi hilo


Mifupa hiyo itateketezwa, na jivu kutawanywa baharini.

Hess alikamatwa baada ya kuingia kwa ndege nchini Uingereza mwaka 1941, na kuhukumiwa kifo.

Alijinyonga gerezani mjini Berlin, Ujerumani, mwaka 1987, akiwa na umri wa miaka 93.

Kabla ya kifo chake, aliandika wasia azikwe katika mji mdogo wa Wunsiedel, ambako familia yake ilikuwa na nyumba walioitumia kwa mapumziko, na wazazi wake walikuwa tayari wamezikwa hapo.

Kanisa la Lutherani wakati huo lilikubali ombi lake, likiamua kwamba haliwezi kupuuza mapendekezo ya marehemu.

Lakini kanisa hilo na wakaazi wa hapo wamekuwa wakiishi kwa hali ya wasiwasi, kufuatia makundi mbalimbali ya ubaguzi wa rangi kulitembelea kaburi hilo mara kwa mara.

Kila mwaka, katika kumbukumbu za kifo chake, makundi yanayosifu shughuli za ki-Nazi yamekuwa yakifika hapo kutoa heshima zao, na vile vile kuweka maua hapo.








Rudolf Walter Richard Hess (26 April 1894 in Alexandria, Egypt – 17 August 1987 in Berlin, Germany) was a prominent Nazi politician and official acting as Adolf Hitler's deputy in the Nazi Party during the 1930s and early 1940s. On the eve of war with the Soviet Union, he flew solo to Scotland in an attempt to negotiate peace with the United Kingdom, but instead was arrested and held in captivity for the rest of the war. Hess was tried at Nuremberg and sentenced to life in prison at Spandau Prison, Berlin, where he died in 1987.


Hess's 1941 attempt to negotiate peace and subsequent lifelong imprisonment have given rise to many theories about his motivation for flying to Scotland, and conspiracy theories about why he remained imprisoned alone at Spandau, long after all other convicts had been released. Precise and detailed information on many aspects of Hess's situation either has been withheld in confidential archives in several nations, or has disappeared outright; this has made accurate historical conclusions very problematic.[1]


On 27–28 September 2007, numerous British news services published descriptions of conflict between his Western and Soviet captors over his treatment and how the Soviet captors were steadfast in denying repeated entreaties for his release on humanitarian grounds during his last years.[2][3][4][5][6][7]

In July 2011, the remains of Rudolf Hess were exhumed from a grave in Bavaria after it became a pilgrimage for thousands of neo-nazis.Hess was born in Alexandria, Egypt, the eldest of four children, to Fritz H. Hess, a prosperous German Lutheran importer/exporter from Bavaria, and Clara (née Münch). His mother was of Greek descent, of the Georgiadis family of Alexandria. The family lived in luxury on the Egyptian coast, near Alexandria, and visited Germany often during the summers, allowing the Hess children to learn the German language and to absorb German culture. The family moved back to Germany in 1908, where Rudolf was subsequently enrolled in boarding school in Bad Godesberg, at the Evangelical School. Hess showed aptitude in science and mathematics, and expressed interest in becoming an astronomer. However, his father wished him to eventually continue the family business, Hess & Co., and in 1911 convinced Rudolf to study business for one year in Neuchatel, Switzerland, at the Ecole Superieur de Commerce

World War I



Hess joined the Hamburg trading company Feldt, Stein & Co. as an apprentice in 1912. At the outbreak of World War I he enlisted in the 7th Bavarian Field Artillery Regiment, became an infantryman and was awarded the Iron Cross, second class. He saw heavy action both on the Western Front (at Ypres and Verdun) and in the Carpathian Mountains. After being wounded on several occasions — including a chest wound severe enough to prevent his return to the front as an infantryman — he transferred to the Imperial Air Corps (after being rejected once). He then took aeronautical training and served as a pilot in an operational squadron, Jasta 35b (Bavarian), with the rank of lieutenant from 16 October 1918. He won no victories. The war ended on 11 November 1918

Marriage, family, early post-war years


On 20 December 1927 Hess married 27-year-old Ilse Pröhl (22 June 1900 – 7 September 1995) from Hannover. Together they had a son, Wolf Rüdiger Hess (18 November 1937 – 24 October 2001).

After the war the successful Hess family business collapsed and was taken over by the victorious Western allies. Hess went to Munich, and took a job at a textile importing firm.[10] He joined the Freikorps. He also joined the Thule Society, a right-wing völkisch occult-mystical organization.[11] After the end of the war, Bavaria underwent fierce infighting between right-wing groups and left-wing forces, some of which were Soviet-backed.
University, meets Hitler


In autumn of 1919, Hess left his job and enrolled in the University of Munich where he studied political science, history, economics, and geopolitics under Professor Karl Haushofer, whom he had first met in the summer of 1919 in a social setting. From their first meeting, Hess became a disciple of Karl Haushofer, the two became close friends, and their families would also become close in the ensuing years, as Hess and Karl's son Albrecht Haushofer also developed a strong friendship.[13]


After hearing Adolf Hitler, a powerful orator, speak for the first time in May 1920 at a Munich rally, Hess became completely devoted to Hitler, and spent much of his time and effort for the next several years organizing for Hitler at the local level in Bavaria. Hess joined the fledgling Nazi Party in 1920 as one of its first members. Hess introduced Karl Haushofer to Hitler in the spring of 1921, following a rally at a beerhall. This was a critical and vital development in the eventual Nazi rise to power. Haushofer and Hitler connected immediately on a personal level. Haushofer's geopolitical theories found a strong convert in Hitler, who utilized this material to form the basis of his own plans for the rebuilding of Germany; Hitler soon began using Haushofer's material in his speeches, which drew ever-larger audiences and attention. Haushofer would become a close adviser to Hitler, and assume prominence in Germany with Hitler's rise.[14]


Hess commanded an SA battalion during the Hitler-led Beer Hall Putsch in 1923, which failed. Hess served seven and a half months in Landsberg Prison; Hitler was sentenced to five years in the same prison, but eventually served just nine months. Acting as Hitler's private secretary in prison, Hess transcribed and partially edited Hitler's book Mein Kampf. While in prison, Hitler and Hess were frequently visited and tutored by Karl Haushofer.[15] Hess also introduced Hitler at early Nazi Party rallies.

Hess retained his interest in flying after the end of his active military career, and competed successfully in several races during the 1920s and 1930s.
Hitler's deputy


Eventually, Hess became the third-most powerful man in Germany, behind Hitler and Hermann Göring. Soon after Hitler assumed dictatorial powers, beginning in early 1933, Hess was named "Deputy to the Fuhrer". Hess had a privileged position as Hitler's deputy in the early years of the Nazi movement and in the early years of the Third Reich. For instance, he had the power to take "merciless action" against any defendant who he thought got off too lightly — especially in cases of those found guilty of attacking the party, Hitler or the state. Hess also played a prominent part in the creation of the Nuremberg Laws in 1935. Hitler biographer John Toland described Hess' political insight and abilities as somewhat limited.


Hess had extensive dealings with senior leaders of major European nations during the 1930s. His education, family man image, high office, and calm, forthright manner all served to make him the more respectful and respectable representative of the often otherwise crude and vulgar Nazis. Compared with other Nazi leaders, Hess had a good reputation among foreign leaders.[1]

Within Germany, Hess was somewhat marginalized as the 1930s progressed, as foreign policy took greater prominence. His alienation increased during the early years of the war, as attention and glory were focused on military leaders, along with Göring, Joseph Goebbels and Heinrich Himmler. Those three Nazi leaders in particular had much higher profiles than Hess. Though Hess worshipped Hitler more than the others, he was not nakedly ambitious and did not crave power in the same manner they did. However, as the Deputy Fuhrer, he was definitely not a figurehead. Hess held as much power as the other Nazi leaders, if not more, under Hitler. He controlled who could get an audience with the Fuhrer, as well as passing and vetoing proposed bills, and managing party activities.[17] Hitler appointed Hess as "Minister Without Portfolio".[1]


On 1 September 1939, the day Germany invaded Poland and launched World War II, Hitler announced that should anything happen to both him and Göring, Hess would be next in the line of succession.[18]

Hess ordered a mapping of all the ley lines in the Third Reich

Death and legacy



On 17 August 1987, Hess died while under Four Power imprisonment at Spandau Prison in West Berlin, at the age of 93. He was found in a summer house in a garden located in a secure area of the prison with an electrical cord wrapped around his neck. His death was ruled a suicide by asphyxiation. He was buried at Wunsiedel in a Hess family grave plot sold to his family by the Vetters of the Sechsämtertropfen bitter liquor company of Wunsiedel. Spandau Prison was subsequently demolished to prevent it from becoming a shrine.[41][42]

Neo-Nazis from Germany and Europe held gatherings in Wunsiedel for a memorial march and similar demonstrations that took place every year around the anniversary of Hess's death. These gatherings were banned from 1991 to 2000 and neo-Nazis tried to assemble in other cities and countries (such as the Netherlands and Denmark). Demonstrations in Wunsiedel were again legalised in 2001. After stricter German legislation regarding demonstrations by neo-Nazis was enacted in March 2005, the demonstrations were banned again. Hess's grave, with its epitaph "Ich hab's gewagt" ("I dared"), was re-opened on the morning of 20 July 2011 and his remains exhumed then cremated. Soon afterwards his ashes were scattered at sea.[43][44] The intention was that this would stop future demonstrations around the anniversary of Hess's death.[45]


Hess was the last surviving member of Hitler's cabinet.

Wednesday, July 20, 2011

Rais Jacob Zuma wa Afrika Kusini amesema kuingilia kijeshi mzozo wa Libya sio utaratibu ufaao

Rais Jacob Zuma wa Afrika Kusini amesema kuingilia kijeshi mzozo wa Libya sio utaratibu ufaao wa kutatua mzozo wa nchi hiyo.

Akizungumza katika mkutano wa waandishi wa habari mjini Pretoria akiandamana na Waziri Mkuu wa Uingereza David Cameron,

Bw. Zuma amesema hatma ya Kanali Gaddafi inafaa kuamuliwa kwa kufanya majadiliano.



Waziri Mkuu Cameron amesema kuwa kuna tofauti kati ya viongozi wa Afrika na shirika la kujihami la Nato juu ya operesheni za kijeshi zinazoendelea nchini Libya.





Cameron yuko Johannesburg katika mwanzo wa ziara yake ya kuimarisha ushusiano wa kibiashara kati ya Uingereza na Afrika.

Waziri mkuu Cameron amesema kuwa NATO na viongozi wa Afrika wote wana lengo moja ambalo ni kumtaka kanali Gaddafi ang'atuke mamlakani.

Kulipozuka vita Muungano wa Afrika ulisimama kidete kuhusu msimamo wake kuwa kulitumia jeshi katika mzozo huo wa Libya hakutotatua chochote, kinachohitajika ni mashauriano ya kisiasa.

Rais Zuma
Lakini Rais Zuma amesema mashambulio ya bomu ya NATO hayajasaidia hali ya siasa nchini Libya na amekariri wito wa Muungano wa Afrika wa mazungumzo kuhusu kuondoka kwa Kanali Gaddafi.

Na wakati huohuo ziara ya Cameron imekatizwa ili arejee nyumbani kukabiliana na mzozo unaoendelea kutokota wa udukuzi na waandishi wa habari.

Mwandishi wa BBC wa masuala ya siasa James Landale amesema ziara hii hapo awali ilipangiwa kuwa ya siku tano badala ya siku mbili jambo litakalomfanya atembelee nchi mbili tu ikiwa ni Afrika Kusini na Nigeria.

Bw Cameron anakabiliwa na wakati mgumu kuhusu uwamuzi wake wa kumuajiri aliyekuwa mhariri wa News of the World Andy Coulson kuwa msemaji wake.
Bw Coulson ambaye hatumiki tena Kama msemaji wa Waziri Mkuu alikamatwa na kuachiliwa kwa dhamana katika uchunguzi unaoenedelea kwa waandishi wa gazeti hilo kutokana na udukuzi wao waliofanya katika simu za watu.

Katika ziara hii, Bw Cameron anatarajiwa kuunga mkono mpango wa biashara huru kwa mataifa 26 ya Afrika utakaojumuisha eneo linalokaliwa na zaidi ya watu milioni 600 ikiwa ni zaidi ya nusu ya eneo la bara la Afrika katika kipindi cha miaka mitatu.

Amesema mpango huo utaongeza pato la bara hilo na kufika dola bilioni 62 ikiwa ni dola bilioni 20 zaidi ya bajeti ya kila mwaka ya msaada kwa eneo a Afrika lililo kusini mwa jangwa na Sahara.

Ziara ya wiki hii ni moja wapo ya ziara za hivi karibuni za kibiashara ambapo Waziri Mkuu Cameron amekwenda China na India na naibu wake Nick Clegg ametembelea nchi za Mexico na Brazil.Hizi ni hatua za kuleta uhusiano wa karibu na mataifa yanayokua kiuchumi ambayo yanaonesha kuongoza katika nyanja hiyo katika miaka ijayo.











Man City yakubali kumuuza Tevez





Meneja wa klabu ya Manchester City, Roberto Mancini, amesema makubaliano yameafikiwa na klabu ya Corinthians ya Brazil, kumhusu mshambulizi kutoka Argentina, Carlos Tevez.


Wiki iliyopita, ahadi za Corinthians kumnunua kwa pauni milioni 39 zilitupiliwa mbali na City, na inaaminika klabu kinataka kumuuza kwa pauni milioni 50.


Anataka kuikaribia zaidi familia yake nchini Argentina
Tevez, mwenye umri wa miaka 27, amesema angelipenda kutoka ligi kuu ya Premier ya England, ili awe karibu zaidi na familia yake nchini Argentina.

"Tuna makubaliano na Corinthians, lakini Carlos bado ni mchezaji wa City", Mancini alilielezea alipozungumza katika matangazo ya televisheni ya Sky Sports.

Klabu hiyo ya Sao Paulo, nchini Brazil, na huku ikiwa ndio tu imefanya makubaliano ya kupata fedha zaidi kutoka televisheni, ina juhudi za kumsajili Tevez na kumrudisha katika klabu ambayo aliweza kusifika kama mchezaji mahiri, na akipata ufanisi mkubwa.

Kurudi Marekani ya Kusini pia kutamsaidia Tevez kuwakaribia watoto wake wawili.

Tuesday, July 19, 2011

Mandela na familia ya Obama





Mandela na familia ya Obama

Rais Obama amesema Mandela ni nembo ya demokrasia duniani


Nelson mandela ambaye kwa sasa ni myonge kiafya amekuwa chini ya uanagilizi wa karibu kutoka kwa madakatari kwa muda wa saa 24 tangu atoke hospitali mwezi januari pale alipolazwa baada ya kuugua.



Lakini hali hii haijawazuia raia wa Afrika Kusini na watu wengi duniani kumtakia kheri njema anavyo sheherekea miaka 93 tangu azaliwe.


Kuadhimisha siku hii, nyimbo maalum imetungwa kwa heshima yake.

Raia wa Afrika kusini wanatarajia kuweka historia ambapo yamkini watu milioni 12 wataimba wimbo huo kwa wakati mmoja.


Shirika la utangazaji nchini humo (SABC) pamoja na idara ya elimu wamefanya mapango kuwa ifikiapo saa mbili na dakika tangu asubuhi hii, wanafaunzi katika shule zote nchini watauimba wimbo huo maalum uliotungwa kwa heshima ya Madiba.


Siku hii ya kuzaliwa kwa Nelson Mandela, rais wa kwanza mweusi wa Afrika Kusini ni siku ya kimataifa iliorodheshwa na Umoja wa Mataifa.

Nchini Afrika Kusini kila mtu atajitolea dakika 67 za muda wake leo kufanya huduma za kijamii.

Viongozi mbali mbali duniani wamemtumia salamu za kheri njema mzee Mandela wakiongozwa na Rais Barack Obama wa Marekani.

Rais Obama amesema Mandela ni nembo ya demokrasia na haki duniani na amemshukuru kwa kujitolea maisha yake kwa huduma ya jamii.

Kiongozi huyo wa marekani amesema Mandela ataacha urithi wa busara, nguvu na fadhila nyingi.










Nelson Mandela meets the Queen for 90th birthday celebrations



Nelson Mandela displayed his customary diplomatic skills when he met the Queen today as part of his 90th birthday celebrations.

Nelson Mandela, the former South African president, and his wife Graca Machel, meet the Queen

The elder statesman, 89, who passes his milestone next month, paid the monarch who is seven years his junior, an immediate compliment when they met at Buckingham Palace.

"You look younger every time I see you," Mr Mandela said, to the Queen's apparent delight.

The former South African president is in Britain for a week long series of events to mark his 90th birthday.

Mr Mandela, dressed in one of his trademark colourful shirts in a bright gold design, walked slowly with the aid of a stick and supported by a palace aide. He stepped forward to greet the Queen and compliment her on her appearance.

As the pair sat down opposite each other on two sofas, the Queen jokingly told Mr Mandela: "It's very nice weather, arranged just for you."
Mr Mandela spent 27 years in jail on Robben Island for his role leading the campaign against apartheid in South Africa before being freed in 1990 and elected his country's president in 1994.

He officially retired from politics nine years ago, but despite his age and frail health, he has continued to campaign around the globe for peace and an end to poverty.

Gordon Brown and Bill Clinton will both make speeches before Mr Mandela speaks publicly for the first time since arriving in Britain on Sunday.

On Friday he will attend a birthday concert in Hyde Park which will feature acts such as Queen, Leona Lewis and Annie Lennox. Mr Mandela is 90 on July 18.










Terrorist Celebrates Birthday
Saturday, June 28, 2008



Last night the world’s most famous terrorist, Nelson Mandela, celebrated his 90th Birthday with a music concert. This morning as I watched the news coverage of the concert I became enraged as a number of celebrities including X-Factor winner, Leona Lewis praised Mandela as a wonderful man, which of course he is not, as I am about to tell you.

What people forget about Nelson Mandela is that he is a terrorist. In 1961 he became the leader of ANC’s (African National Congress) military wing, Umkhonto we Sizwe (MK) where he coordinated its campaign of violence and terror including the Church Street Bombing in Pretoria which killed 19 people and wounded more than 200.

Mandela also raised funds for MK by visiting his vile terrorist allies; the Soviet Union, Libya and Cuba. MK also had links to the South African Communist Party. Mandela himself holds weird and backward Marxists views of the world. He frequently attacks the US ‘imperialism’ and ‘arrogance’ and voices support for Libya and Cuba, which are both evil and brutal dictatorships.

Nelson Mandela quite rightly spent 27 years in prison and even though I would have kept this mad man locked up forever, the government of P.W. Botha had a more friendly approach. What those free Mandela wankers fail to understand was that Mandela could easily have been a free man well before his release in 1990 because the Botha government consistently offered Mandela his freedom so long as he publicly renounced violence, however, he never did.

Up until this very day Nelson Mandela has never renounced violence which means he believes that his terrorist acts were correct. It is for that reason why Nelson Mandela remains a terrorist and it is for that reason why I believe that this man should be locked up forever.









A plethora of high profile guests attended Nelson Mandela’s 90th birthday dinner fundraiser as a prelude to the 46664 charity concert.

Oprah Winfrey, Denzel Washington, Robert DeNiro, Will Smith, Uma Thurman, Bill Clinton, Gordon Brown, Tony and Cherie Blair and a host of others helped celebrate the landmark dinner event.

‘What is so special is that you spend 27 years in prison, you come out and you do the thing that everyone thought was impossible to do, become president of the nation and change the way people feel about Africa, and then you get to live to celebrate 90,’ Oprah said at the event.

Nelson Mandela is one of the most remarkable men of our time, utilizing the dinner and birthday celebrations to continue to raise funds and awareness for Africa in need is just a given for the long time freedom fighter